BAKIZA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia washiriki wa Kongamano la 6 la Kiswahili la Kimataifa katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi uliopo Wete Pemba
Katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Zanzibar Dkt. Mwanahija A. Juma akimkabidhi mkoba Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi katika Banda la maonesho ya Vitabu kwenye Kongmano la 6 la Kiswahili
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Baraza la Kiswahili la Zanzibar katika Kongamano la 6 la Kiswahili la Kimataifa liliofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi uliopo Wete Pemba
Washiriki wa Kongamano la 6 la Kiswahili la Kimataifa lililofanyika Katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Pemba wakiwa katika hali ya utulivu kungojea kuskiliza hotuba ya Mheshimiwa mgeni rasmi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mh. Fatma Hamad Rajab akizungumza na washiriki wa Konagamano la 6 la Kiswahili lililofanyika tarehe 17-18/12/2022 katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi uliopo Wete Pemba
Mwenyekiti wa Baraza la Kiswahili la Zanzibar Dkt. Saade Said Mbarouk akizungumza na washiriki wa Konagamano la 6 la Kiswahili lililofanyika tartehe 17-18/12/2022 katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi uliopo Wete Pemba

KARIBU BARAZA LA KISWAHILI LA ZANZIBAR

Baraza la Kiswahili la Zanzibar (BAKIZA) ni taasisi iliyoanzishwa kwa sheria Na. 4 ya mwaka 2004 ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar. BAKIZA lipo chini ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

Chombo hiki kimeundwa kwa madhumuni ya kusimamia masuala yote yanayohusu lugha ya Kiswahili, matumizi, maendeleo, mafanikio na changamoto zake Zanzibar.

 
Dkt. Shein na Maendeleo ya Kiswahili Zanzibar

Tsh. 6,000/=

Utamaduni wa Mzanzibari

Tsh. 5,000/=

Kamusi la Lahaja la Kitumbatu

Tsh. 10,000/=

Kamusi la Lahaja la Kipemba

Tsh. 10,000/=